Ndoto huotwa ili ziandamwe. Maisha yanakusudiwa kuishiwa. Baadhi ya vitabu huandikwa ili visomwe, vipendwe na virithiwe na vizazi.
Mualkemia ni kitabu kimojawapo cha vitabu kama hivi.
Mualkemia ni hadithi ya ndoto ya mvulana mchungaji wa mifugo kutoka eneo la Andalucía, nchini Uhispania. Mvulana huyu anasa ri katika maeneo mengi yakiwemo masoko ya ajabu ya Afrika Kaskazini na baadaye kwenye jangwa nchini Misri. Mualkemia anamsubiri kwenye jangwa hili. Je, ataizimua ndoto yake?
'Vitabu vyake vimekuwa na athari ya kuimarisha maisha kwa mamilioni ya watu' Gazeti la The Times
Mualkemia» es la traducción al kiswahili de “El alquimista”, la obra maestra de Paulo Coelho que narra la mística historia de Santiago, un pastor andaluz que anhela viajar en busca de un tesoro mundano. Su búsqueda le conducirá a riquezas muy distintas -y mucho más satisfactorias- de lo que jamás imaginó. El viaje de Santiago nos enseña la sabiduría esencial de escuchar a nuestros corazones, reconocer las oportunidades y aprender a leer los presagios esparcidos por el camino de la vida y, lo que es más importante, seguir nuestros sueños.
© Book1 Group - todos los derechos reservados.
El contenido de este sitio no se puede copiar o usar, ni en parte ni en su totalidad, sin el permiso escrito del propietario.
Última modificación: 2024.11.14 07:32 (GMT)